Tahadhari epuka kununua nyama kwenye bucha isiyo na nzi basi soma hapo!
Kuna watu hutumia dawa aina ya FORMAILIN ambayo hutumika kutunzia maiti katika kutunzia nyama buchani kufukuzia nzi.
Mfamasia mmoja Capt Keneth mwanachama wa UPDF, alisema nikweli hili ni suala la Afya kitaifa.
Baada ya rafiki yake kupoteza mtoto, baada ya uchunguzi kufanyika ikagundulika uwepo wa hiyo Kemikali ya formalin kuwepo katika damu ya mtoto.
Pale formalin ilipokuwa imaingia mwilini, inaenda moja kwa moja kwenye Ini nakuharibu.
Tahadhali unapoenda buchani k ununua nyama nisalama zaidi kununua nyama kwenye bucha lenye nzi! Tumia uwepo huo kama uthibitisho na usalama wa nyama isiyokuwa na Kemikali ya formalin.
Kama nyama haina nzi kinachofanya wasitue juu yake ni uwepo wa formalin.
Tafadhali kuwa mwanfalifu okoa maisha ya mwingine kama nilivofanya kwako kwa kushare kwa wengine nao wapate kufahamu!
Mfamasia mmoja Capt Keneth mwanachama wa UPDF, alisema nikweli hili ni suala la Afya kitaifa.
Baada ya rafiki yake kupoteza mtoto, baada ya uchunguzi kufanyika ikagundulika uwepo wa hiyo Kemikali ya formalin kuwepo katika damu ya mtoto.
Pale formalin ilipokuwa imaingia mwilini, inaenda moja kwa moja kwenye Ini nakuharibu.
Tahadhali unapoenda buchani k ununua nyama nisalama zaidi kununua nyama kwenye bucha lenye nzi! Tumia uwepo huo kama uthibitisho na usalama wa nyama isiyokuwa na Kemikali ya formalin.
Kama nyama haina nzi kinachofanya wasitue juu yake ni uwepo wa formalin.
Tafadhali kuwa mwanfalifu okoa maisha ya mwingine kama nilivofanya kwako kwa kushare kwa wengine nao wapate kufahamu!
No comments