Karibu utangaze biashara yako hapa contact no 0758018458 AU Email:-mzimbilikiller@gmail.com



Breaking News

HABARI KUTOKA BUNGENI

Mbunge Ester Matiko amehoji, kwanini serikali isitumie busara zaidi kwa wafungwa hususani wakina mama wenye watoto wachanga ambao wanafungwa kwa kesi za kudaiwa laki 1, 2 halafu wanafungwa miezi 6 kwa maana wanakuwa wanaenda kutumia gharama kubwa kuliko deni wanalodaiwa!

No comments