MCHEKI POUL POGBA AKIWA KWENYE IBADA YA SWAUMU HUKO MACCAH
Ninavyojisikia siwezi hata kuelezea, ila nawaombea kheri wote wanaoangalia video wapate uwezo wa kuweza kufika hapa kwa ajili ya Umrah au Hajj”. Mchezaji wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa, Paul Pogba akiwa kwenye ibada ya Swaumu huko Mecca - Saudi Arabia.
No comments