NCHINI UGANDA: NG'OMBE KUPEWA VYETI VYA KUZALIWA
Nimaajabu lakini ni kweli najua utashangaa kama nilivyoshangaa na mimi pia sasa ipo hivi.
Ng'ombe wote nchini UGANDA wanatarajiwa kupewa vyeti vya kuzaliwa ili kufikia mashsrti ya kibiashara katika soko la muungano wa ULAYA ,UE.

Kwa mujibu wa daily monitor waziri wakilimo , ufuaji na uvuvi VICENT SSempijja amesema kuwa mataifa yanayokuza chakula kwaajulu ya soko la UE lazima yatoe stakabadhi inayoonesha bidhaa hiyo imetoa wapi
BW. SSempijja aliongeza kuwa bidhaa kutoka UGANDA zinashikiliwa au kupigwa marufuku Barani ULAYA.

Ng'ombe wote nchini UGANDA wanatarajiwa kupewa vyeti vya kuzaliwa ili kufikia mashsrti ya kibiashara katika soko la muungano wa ULAYA ,UE.

Kwa mujibu wa daily monitor waziri wakilimo , ufuaji na uvuvi VICENT SSempijja amesema kuwa mataifa yanayokuza chakula kwaajulu ya soko la UE lazima yatoe stakabadhi inayoonesha bidhaa hiyo imetoa wapi
BW. SSempijja aliongeza kuwa bidhaa kutoka UGANDA zinashikiliwa au kupigwa marufuku Barani ULAYA.

No comments